Thursday, June 13, 2013

HABARI:NELSON MANDELA ALIKIKARIBIA KIFO RIPOTI TOKA KWA MADAKTARI

Ni siku nne zimepita imetokea hali ya sintofahamu baada ya mpiganiaji Uhuru wa South Africa
Babu Nelson Mandela kukimbizwa hospitalini baada ya hali yake kuwa mbaya na kuwekwa
kwenye chumba cha watu mahututi..

...
Ripoti kutoka kwenye hospital aliyolazwa Rais huyo wa zamani wa Taifa hilo inasema
usiku wa kuamkia leo siku ya Alhamisi majira ya saa 8 usiku hali ya Mandela ilibadilika
na Team ya madaktari walikusanyika na ilionekana Mapigo ya Moyo kuacha kufanya kazi
kwa muda na Figo kushindwa kufanya kazi kwa dakika zisizopungua 10....
baada ya kupigania
uhai wake hali ilirudi kuwa ya kawaida na kuendelea kupata matibabu chini ya madaktari
Bingwa...
Pia Raisi wa sasa wa South Africa Bwana Jacob Zuma ameongea na kusema ''Naiamini
team ya madaktari inayomuangalia mzee wetu na nina imani Mungu atamuepusha
na mabaya yote na kurudi kwenye hali yake kama kawaida...,nampenda mzee mandela,
wote tunampenda mandela na dunia nzima inampenda kwahiyo kwa pamoja tuungane kumuombea...!!

Reese Witherspoon Gets Caught In The Wind

It’s a side of Reese Witherspoon we’ve never seen before.
The mother-of-three’s skirt flew up as she was shopping in Los Angeles on Tuesday, exposing her behind, and we’ve got the just-received pictures for you right here on RadarOnline.com.
The Legally Blond star, 37, rounded out the cheeky get-up with a floral skirt and a white jacket as she left a nail salon.
It’s another head-scratching turn for the normally-demure Walk The Line beauty, who made headlines earlier this year when she was arrested for disorderly conduct in Atlanta April 19 as her agent hubby, Jim Toth, was being arrested for DUI.
Reese’s aggressive demeanor on the subsequently-released arrest video caused further embarrassment for the venerated Oscar-winning actress.

Uchaguzi kufanyika Julai 31 Zimbabwe


Mzozo wa kisiasa umeibuka nchini Zimbabwe baada ya rais Robert Mugabe kutoa agizo kuwa uchaguzi mkuu nchini humo utafanyika tarehe Thelathini na Moja Julai mwaka huu.
Waziri mkuu wa Zimbabwe, Morgan Tsvangirai, ametoa taarifa muda mfupi tu baada ya agizo hilo la rais, akisema kuwa rais Mugabe amekiuka sheria kwa kutoshirikisha bunge na ameapa kupinga uamuzi huo.
Morganb Tsvangirai
Katika kikao na waandishi wa habari, Tsvangirai, amemshutumu Bwana Mugabe kwa kukiuka mkataba wa ugavi wa mamlaka uliosainiwa miaka mitano iliyopita, baada ya mzozo kuhusu matokeo ya kura kusababisha ghasia nchini humo.
Tsvangirai ametaka uchaguzi huo kuhairishwa hadi mageuzi ya kikatiba yafanyike ili kuhakikisha zoezi hilo la uchaguzi linafanyika kwa njia huru na haki.
Bunge la nchi hiyo bado linajadili mswada wa sheria ambao utaruhusu vyama vyote vya kisiasa kupewa nafasi sawa katika shirika la habari la serikali wakati wa kampeini.
Lakini wiki mbili zilizopita mahakama ya kikatiba nchini humo iliagiza kuwa uchaguzi huo ni sharti ufanyike kabla ya mwisho wa Julai.

Kanye West’s Alleged Mistress Hires Lawyer, Begs For ‘Privacy’

The Canadian model who alleged she bedded Kanye West behind the back of Kim Kardashian is pulling out a big gun to deal with the fallout of her spectacular claims, officially hiring attorney a noted Los Angeles attorney.
RadarOnline.com has exclusively learned Leyla Ghobadi inked an agreement to be represented by Bret D. Lewis, who has rrepresented Bob DylanIke TurnerRuff Ryders and a host of record labels.
He has also acted for Jermaine Jackson and his brother Randy Jackson.
But just why Ghobadi, 24, hired an attorney who specializes in the music entertainment area is unknown.
And Lewis didn’t do much to clear up the mystery when RadarOnline reached him.
“She wanted my advice. I have been engaged to give her some advice,” Lewis told Radar, offering no specifics.
Asked if Ghobadi would be giving more interviews, he said: “We are in the process of deciding what she will be doing. I have been engaged to help her decide what her next steps should be. I am an established entertainment attorney and I will be representing her from hereon.
“I can’t tell you what her state of her mind (is).”
In the early hours of Thursday morning, the self-described VIP bartender/waitress, from Montreal, took to her Facebook page and begged people to “please respect my privacy.”
Earlier, she became engaged in a war of words with people on Twitter, before abruptly deleting her account.
“He was aggressive in his pursuit,” she wrote at one point. “I admit I didn’t have to do it ­ I got caught up in the situation. I used to idolize him.”
The plea for privacy came less than 24 hours after she went public with claims about a relationship with West, 36, which supposedly began in July 2012, when the “Love Lockdown” artist spotted Ghobadi dancing to his son “Mercy” in the front row at Revel’s Ovation Hall in Atlantic City.
“This is going to destroy the Kardashian family,” Ghobadi told Star. “It’s bad. It’s really bad. It’s just embarrassing. But if I were Kim and about to have a baby, I would want to know.”
She said he gave her and her friends free passes to another concert and invited them backstage, where he allegedly made his move.
“He told me . . . he wanted to ‘hook up, but I was concerned that he was seeing Kim Kardashian,” she said. “He told me that [the relationship] was for publicity and nothing serious.”
After a while, “We began to make out for a while – and next thing I knew, we were both naked and having sex.”
Kardashian, 32, has denied the report, while Kanye blasted the woman’s story as an “attack” that is “totally without merit.”
“It’s a blatant attempt by a misguided individual who is clearly seeking publicity,” the notoriously press shy singer said. “This is a sad attempt to hurt two people trying to live their lives.”

Inside Justin Bieber’s Parties: Booze, Drugs & Women — His Pal Speaks Out From Rehab

Girls, booze and drugs are in abundance during the wild parties atJustin Bieber‘s Calabasas mansion, it’s being claimed.
The man who arranged it all for the increasingly out-of-control pop star has spoken out exclusively to RadarOnline.com about just what happened behind the scenes — and how the constant drug use in Justin’s inner circle have landed him in rehab.
“I’m the main party guy in the group,” rapper King Kevi told Radar in an interview from Passages Malibu, where he was finishing up a 30-day treatment for abusing codeine, also known as “sizzurp” or “drank.”
“I was the ringleader for getting it for everybody, because I had the hookup.”

He explained, “Everyone on Twitter says that Justin has posted pictures of sizzurp and then deleted them, but I have never seen him do it. I’ve only ever seen him smoke weed.”
But the narcotic beverage was popular with the MUCH of his posse until recently, Kevi claims.
“When Lil Wayne went to the hospital for seizures, that s**t got us down, like, that was someone I look up to,” he said. “After that, everyone else stopped doing that s**t. I just kept going. I was doing it basically every day.”
Kevi’s friends and family staged an intervention and shipped him off to Passages, far from the temptations of young Hollywood. “What I’ve been doing ain’t really good for me,” Kevi admitted. “When I’ doing that s**t, I feel good, but I’ve come to learn that I don’t need to do it like everyday.”
And Kevi says that Justin is totally supportive of his sobriety. “I talk to him everyday,” Kevi claimed. “He actually sent me some new headphones. He sent me a necklace too that’s dope with diamonds and gold on it.”
But he’s unsure how their relationship will proceed once he’s out of treatment. “Justin’s not really supposed to be seen with me,” Kevi says.
Some have called Kevi a bad influence on 19-year-old Justin, since it was his presence that coincided with Bieber’s increasingly hard-partying ways. And Kevi admits that he was the one who started planning the secret parties at Justin’s pad.
“I’m the main party guy,” he says. “I run everything.”
About six months ago, Kevi says, “Justin gave us the ok to throw the parties as long as we had everyone sign NDAs [non-disclosure agreements].”
“That took it to a whole other level,” he explains. “I’m bringing like 60, 70 girls. Justin started liking that.”
Now, Kevi says, Justin’s happy to be playing the field, unattached from former girlfriend Selena Gomez. As for rumors that Kevi swooped in and hooked up with her after their split, he says, “I’m not gonna comment on that.”
Kevi will spend some time in outpatient treatment in Newport, Calif., before hopefully linking back up with his BFF. “He’s not really supposed to be seen with me now, I guess,” Kevi says. “But we’re cool.”

Wednesday, June 12, 2013

PICHA:MWANAMKE WA KIZUNGU AMBAYE NI KONDA WA DALADALA




Now days kwa baadhi ya miji mikubwa hapa
 kwetu tanzania imeanza kuzoeleka kumkuta
 mwanamke akiwa amesimama kwenye mlango wa daladala kama konda
daladala..haishangazi.....lakini kumkuta 
mwanamke wa kizungu,tena mzungu pure kuwa 
konda wa daladala bila shaka ni ngumu kuamini 
kidogo sababu tunaamini watu weupe hususani kutoka mataifa ya ulaya ni watu 
waliobarikiwa kuwa na uwezo kimaisha
so inakuwaje kwa mwanamke wa kizungu kuwa
 konda wa daladala tena ndani ya Africa?picha
 hapo juu ni picha iliyopigwa maeneo ya kileleshwa 
nchini kenya ikionesha  mdada wa kizungu  akiwa 
 ndani ya daladala aka matatuu na amevaa uniform 
wanazovaa makonda  yawezakuwa ni kweli ama 
ni just swagg tu maana wazungu hawawezekani kwa vituko ...

‘Marcus is our guy’: meet Obama’s chef

  • Marcus Samuelsson, second from left, with Michelle Obama
    Marcus Samuelsson, second from left, with Michelle Obama JIM WATSON/AFP/Getty Images
From hosting fundraisers in his Harlem restaurant to helping at the White House, Marcus Samuelsson is the president’s go-to cook, says Tim Teeman
As endorsements go, you wouldn’t think they come any better for a chef than Michelle Obama announcing on Good Morning Americathat you run “one of my favourite restaurants”, but they do.
During a cooking demonstration on the show recently — promoting a healthy home-cooking initiative — America’s First Lady added a golden kicker, a seal of approval from the Oval Office itself: “Marcus is our guy.”
Four years ago, Marcus Samuelsson was the guest chef of the first